AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WAKATI dili la Luis Miquissone kujiunga na Al Ahly ya Misri likiwa limekamilika, Simba imefanya fasta kumvuta straika kutoka klabu hiyo Bingwa wa Afrika.
Inaelezwa kuwa dili la Luis kwenye kwa wababe hao, umeenda sambamba na mkwanja mnono na mshambuliaji, Walter Bwalya waliyekuwa wakimwinda kwa muda mrefu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK