AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Reposted from @hajismanara Wenye akili wananiambia niendelee kunyamaza ila wao kutwa kuchukua clip zangu za zamani kuzisambaza na sasa wanatoa clip za mambo ya uongo kuzisambaza !!
Narudia tuiache mechi ipite kisha tuone nitakayoyasema kama atatokea yoyote miongoni mwao atajibu kitu..
Endeleeni kuwaongopea watu hadi jumapili lakini Wallah hamtaninyamazisha ikifika jumatatu.
Uhai na Majaaliwa ndio ya kuomba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK