AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bodi ya wakurugenzi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, kwa kauli moja, imeridhia matakwa ya Haji Manaa ya kutokuendelea kuhudumu katika nafasi ya Msemajiwa Klabu. Bodi inamshukuru kwa maneno aliyotumia kuwaaga wana Simba.
Klabu ya Smba imemteua, Ezekiel Kamwaga kuwa Kaimu Mkuu wa Idaa ya Habai na Mawasiliano ya Klabu kwa kipindi cha miezi miwili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK