Juma Jux Amwagia SIFA Jack Wolper "Nilienjoy Sana Wakati Niko Nae Mapenzini"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwanamziki Namber 1 Kwenye Miondoko ya RNB (@juma_jux ) Amemwagia Sifa Mwanadada Jacklin Wolper Kuwa Alikuwa na Vitu Special Kipindi Wapo kwenye Mahusiano Nae Ila Ilikuwa Private Mno.

"Kila Mwanamke Ninaekuwa Nae kwenye Mahusiano Huwa Anakuwa na Vitu Special Mno Kipindi Kile Cha Wolper Nilienjoy Mno Ni Mwanamke Mwenye Malengo Makubwa kwenye Maisha"-Ameongea (@juma_jux )

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad