Kesi ya Rushwa Dhidi ya Zuma Kuendelea leo Licha ya Vurugu Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kesi ya muda mrefu ya rushwa inayomkabili rais wa zamani wa Afrika Kusini aliyeko jela Jacob Zuma itaendelea leo kwa njia ya video, licha ya vurugu kali ambazo zimelikumba taifa hilo baada ya kufungwa jela katika kesi nyingine. 

Zuma anakabiliwa na mashitaka 16 ya ulaghai na rushwa kuhusiana na ununuzi wa mwaka wa 1999 wa ndege za kivita, boti za kushika doria na vifaa vya jeshi kutoka kwa kampuni tano za kijeshi barani Ulaya wakati akiwa naibu wa rais. Anatuhumiwa kupokea hongo kutoka kwa moja ya kampuni hizo, Thales ya Ufaransa, ambayo ilishitakiwa kwa rushwa na utakatishaji pesa. 

Kesi hiyo ilianza Mei baada ya kuahirishwa na kucheleweshwa mara nyingi, wakati timu ya utetezi ya Zuma ikipambana kutaka mashitaka hayo yafutwe. Zuma mwenye umri wa miaka 79, anasisitiza hana hatia. Kampuni ya Thales pia ilikana mashitaka.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. I used to be more than happy to seek out this web-site.I wanted to thanks to your time for this glorious learn!! I positively having fun with each little bit of it and I’ve you bookmarked to take a look at new stuff you weblog post. 토토사이트


    ReplyDelete

Top Post Ad