Mkubwa Fella: Mwijaku akaguliwe Uraia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Meneja wa Diamond, Mkubwa Fella akiongea na WasafiTV amemtishia Mwijaku kumkagua Uraia wake kutokana na Kitendo chake cha kushangilia baada ya Diamond kushindwa kwenye Tuzo za BET akidai Mwijaku ameonyesha Chuki na sio Ushabiki
Fella, amesema Watanzania hawana Roho ya Chuki, watu wenye Chuki kama ile wanatakiwa wakaguliwe Uraia wao ili kuwajua kama ni Watanzania au Wakimbizi.

Aidha, Fella amedai ana Kazi nyingine tofauti na Kazi ya Udiwani na Muziki, amedai anafanya Kazi nyingi sana za Siri alizopewa na Serikali lakini hataki tu kuziweka wazi ili Kulinda Amani Nchi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad