Mpangaji Afunguka A to Z Jinsi Alivyojaribu Kumsaidia Marehemu Zungu Akiungua na Moto Chumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Majonzi yametawala Mbezi Makabe Dar es Salaam baada Msichana aiwate Grace Mushi maarufu kama Neema kudaiwa kumuua Boyfriend wake aitwae Hamis maarufu Zungu kwa kuichoma kwa petroli nyumba aliyokuwemo.

Mmoja wa Mashuhuda wa tukio hilo ambaye ni Mpangaji katika nyumba hiyo iliyochomwa moto.

"Nilikuwa nimelala nikashtuka mida ya saa 7 nilitaka kwenda chooni, nikaona mlangoni kuna uwazi kama unaingiza mwanga kwa ndani, nilivyofungua mlango nikaona moto umetanda karibia na chumba changu nikaanza kupiga kelele”


 TBS Internship Programme For Graduates - 54 Posts

“Nikauliza kuna nini mbona moto unawaka, ndio yule Kaka Zungu akaanza kusema Mama Su nipo naungua ndani huku moto umewaka nikamuuliza kuna nini Zungu akanambia Neema kanifungia mlango, nikamwambia fungua mlango akasema siwezi kufungua”

“Ilibidi nianze kufanya ustaarabu wa kumtoa mtoto wangu, nikwambia ngoja nitoke nje niombe msaada wa Watu kuja kunisaidia maana peke yangu siwezi akanijibu sawa Mama Su fanya haraka” 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. I will bookmark this site and come to it from time to time. Your writing has been of great help to me.

    Click here to chceck my blog :: 오피 (jk)



    ReplyDelete

Top Post Ad