google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mukoko Apiga Magoti Yanga..Awaomba Radhi Mashabiki na Viongozi wa Yanga | UDAKU SPECIAL

Mukoko Apiga Magoti Yanga..Awaomba Radhi Mashabiki na Viongozi wa Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kupitia Instagram yake ameandika kuwa:

“Nachukuwa fursa hii kuomba radhi mashabiki pamoja na viongozi na benchi la ufundi kwa kilicho tokea katika mchezo Wa final wa yanga vs simba. Kwamba sijakusudia kupewa kadi nyekundu ambayo labda ndo ilikuwa sababu yakupoteza mchezo huo. Naipenda sana team yangu yanga DAIMA MBELE NYUMA MWIKO💚🧡
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad