Mwigulu "Wafanyabiashara Msikimbie Nchi Kero zenu Tunazifanyia kazi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Wafanyabiashara waliokimbilia Nakonde nchini Zambia warejee nchini malalamiko yao yatafanyiwa kazi

Kwa maelezo ya Wafanyabiashara ni kuwa wamehamia Zambia kwa kuwa kuna unafuu wa kodi kuliko Tunduma nchini Tanzania

Dkt. Nchemba ameitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wakazi wa Tunduma wakiwemo Wafanyabiashara


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad