AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Wafanyabiashara waliokimbilia Nakonde nchini Zambia warejee nchini malalamiko yao yatafanyiwa kazi
Kwa maelezo ya Wafanyabiashara ni kuwa wamehamia Zambia kwa kuwa kuna unafuu wa kodi kuliko Tunduma nchini Tanzania
Dkt. Nchemba ameitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wakazi wa Tunduma wakiwemo Wafanyabiashara
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK