AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo July 30, 2021 amepokea ndege mpya aina ya Bombadier Dash 8 – Q400 katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 1 Jijini Dar es Salaam.
Millardayo.com imekusogezea picha 13 ushuhudie tukio hilo lilivyokuwa Airport DSM pamoja na muonekano wa ndege hiyo mpya
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK