Rais amteua mrithi wa marehemu Mhandisi Mfugale

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan, amemteua Rogatus Mativila, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) akichukua nafasi ya Mhandisi Patrick Mfugale, aliyefariki dunia Juni 29, 2021.

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Julai 30, 2021, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu, ambapo kabla ya uteuzi huo Mativila alikuwa ni Mkurugenzi wa Barabara kutoka Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Mbali na huyo Rais Samia pia amemteua Prof. Yunus Mgaya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) ambapo kabla ya uteuzi huo Profesa Mgaya alikuwa ni Mkurugenzi Mkuu wa NIMR.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad