Rooney aripoti polisi baada ya picha chafu kusambaa mtandaoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezaji wa zamani wa England, Wayne Rooney ameripoti polisi baada ya kupigwa picha za faraga na watu wasiojulikana, wamesema mawakili wake.



Picha ambazo zilisambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii, zinamuonesha Bw Rooney akiwa amelala kwenye kiti huku akiwa na wanawake kando yake.

Haijulikani ni lini picha hizo zilipigwa na hakuna ushahidi kuwa Rooney alikuwa na mienendo yoyote isiyofaa.

Mawakili wa nyota huyo wa zamani wa Manchester United wamethibisha kuwa suala hilo limeripotiwa kwa polisi.

Mawakili wake wamekataa kuzungumzia kuhusu chanzo na asili ya picha hizo. Wakati Polisi ya Greater Manchester imeombwa kuzungumzia suala hilo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad