Sallam SK Atoboa Siri "Diamond Platnumz Alivaa Cheni Feki Miaka Mingi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


FAKE IT UNTIL YOU MAKE IT
Moja Kati ya Mengi kutoka kwa moja ya Viongozi wa label ya @wcb_wasafi Sallam SK @sallam_sk amezunngumza katika Semina ya Wasanii visiwani Zanzibar amewaambia wasanii kama kuna jambo linahitaji kufake ili likufikishe mahali basi usiogope kufake

Sallam SK ameenda mbali zaidi na kutoa mfano kuwa Msanii @diamondplatnumz kipindi Cha nyuma aliongoza kwa kuvaa cheni fake ili kujiweka tofauti lakini kwa sasa anavaa Hadi Cheni zenye thamani zaidi ya Milioni 100

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad