Serikali ya Tanzania Sasa Ina Wagonjwa 682 wa Covid19

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetangaza Tanzania kuwa na jumla ya wagonjwa 682 wa COVID-19

Mwitikio hafifu wa kuchukua hatua dhidi ya mlipuko wa #COVID19 umepelekea ongezeko la maambukizi nchini na Wizara imewataka wananchi kufuata kanuni zote za afya ili kupunguza Maambukizi

Wakuu wa Wilaya na Mikoa waagizwa kutotoa vibali kwa shughuli zisizo na ulazima

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad