google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Shabiki wa Simba Afariki Dunia Kisa Yacouba wa Yanga | UDAKU SPECIAL

Shabiki wa Simba Afariki Dunia Kisa Yacouba wa Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shabiki wa Simba, Kilosa Said (50+) wa Kijiji Cha mwamgongo (mwambao wa ziwa Tanganyika ) Mkoani, Kigoma amefariki Jana wakati akiangalia mpira wa Simba na yanga.

Rafiki wa Marehemu, Msafiri Ismail Shibu, amesema tukio hilo lilitokea walipokuwa wakiangalia mchezo huo wa Derby kwenye ‘Screen’ eneo la Mwamgongo.

“Tulikuwa tunaangalia mpira eneo la Mwamgongo, tulitandika turubai chini tukawa tunaangalia mpira kwenye `screen’ wakati Mchezaji wa Yanga, Yacouba Songné anafanya shambulizi kwenye lango la Simba presha ikapanda.

“Tukamchukua na kumpeleka hospitali, akawa ameshapoteza maisha, presha yake ilikuwa 250, Marehemu ameacha mke na watoto wawili,” Msafiri Ismail Shibu.

Kilosa anatarajia kuzikwa leo Julai, 26 saa 10, jioni katika kijini cha mwamgongo, mkoani Kigoma.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad