Shura ya Maimamu "Polisi Wawaachie Viongozi Chadema Bila Masharti"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shura ya Maimamu Tanzania imetoa tamko la kuwataka Polisi kuwaachia bila masharti viongozi na wanachama wa CHADEMA waliokamatwa Mwanza wakijiandaa kushiriki Kongamano la Katiba Mpya

Shura ya Maimamu wamesema kukamatwa kwa Viongozi ni kiashiria kuwa Jeshi la Polisi linaendeleza hujuma dhidi ya wananchi kwakuwa haki ya kukusanyika na kutoa maoni ni haki ya Kikatiba

Aidha wameshauri Vyombo vya Dola ikiwemo Polisi kutoendeleza vitendo vya ukiukwaji Haki za Kiraia na kukandamiza Uhuru wa watu Kujieleza

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad