Stamina Afunguka Kuhusu Madai ya Uchawa wa Shetta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Stamina Shorwebwenzi amesema Shetta ni mtu ambaye anaangalia sana fursa na kwa vitu anavyofanya hawezi kumuweka kwenye engo ya uchawa kama baadhi ya watu wanavyomtafsiri.


"Shetta ni mjanja mjanja sana, kati ya wamba ambao nawaaminia yeye kiboko anajua kuitafuta fursa na haiachi ule ndio unyama na inavyotakiwa, watu wengi wanaeka kwenye angle ya uchawa kwangu mimi simuoni kama ni uchawa namuona kama fighter" ameeleza Stamina 


Stamina ameongeza kusema kuna vitu vingine anavyovifanya Shetta ambavyo yeye hawezi kuvifanya kwa sababu kwenye maisha lazima kuwe na mtu ambaye anachangamka.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad