AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, msanii nguli wa Muziki nchini, Waziri Ally Kissinger wa The Kilimanjaro Band (Wana Njenje) amefariki dunia usiku huu katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam wakati akipatiwa matibabu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK