AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wahudumu wawili wa Afya wanashikiliwa na Polisi nchini #Uganda kwa tuhuma za kuchoma watu takriban 800 chanjo feki ya Corona mnamo mwezi Mei
Operesheni ya Polisi iliyofanyika Juni 17, 2021 ilifanikiwa kuwakamata Manesi hao wakiwa na kitabu kilichokuwa na majina ya wote waliochomwa chanjo hiyo pamoja na Namba za Utambulisho na Mihuri ya Mamlaka za Jiji la Kampala
Waliochomwa chanjo hiyo walilazimika kulipa kati ya Tsh. 65,000 na 130,000. Baadhi ya watu waliochomwa chanjo hiyo warifariki katika Wimbi la Pili la #COVID19
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK