Waziri Mkuu awasili Burundi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa amewasili nchini Burundi leo Julai 1,2021, na atakua humo kwa ziara ya siku moja.



Mh.Majaliwa amepokelewa na mwenyeji wake, Makamu wa Rais wa Burundi, Prosper Bazombanza, wakati alipowasili  kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad