Yanga yaitikisa Kigoma, mapokezi yake usipime

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kikosi cha Klabu ya Yanga kimewasili salama mkoani Kigoma na kupokelewa na mamia ya wanachama, mashabiki na wapenzi wa timu hiyo ya wananchi.





Yanga ipo mkoani Kigoma tayari kuwavaa watani wao wa jadi Simba SC ambao wenyewe wanasafiri leo jioni kuelekea huko kwaajili ya mchezo wa Fainali ya FA.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad