Afisa Habari wa Simba Athibitisha Kuuzwa Kwa Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kaimu Afisa Habari wa Simba Sports Club Ezekiel Kamwaga Athibitisha Kuuzwa Kwa Chama.

NI kweli kwamba nyota wetu mahiri, Clatous Chama amejiunga na timu ya RS Berkane ya Morocco na sisi kama uongozi tumeridhia kwa kuzingatia maslahi mapana ya mchezaji pamoja na klabu yetu ya Simba.

Na pia Fedha tulizopata kwa kumuuza Chama ni kubwa mno na tutazitumia kuboresha kikosi chetu.
#NguvuMoja
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad