Ajali Ya Gari La JWTZ, Lori La Mizigo Yaua Watu 10 Geita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Watu 10 wamefariki dunia na wengine 4 kujeruhiwa kwenye ajali iliyotokea  jana Kijiji cha Ilalwe kata ya Bukombe mkoani Geita iliyohusisha  Gari la jeshi la wananchi na gari aina ya Scania T130 DRZ lililokuwa limebeba mzigo likitokea Dar es Salaam kuelekea nchini Rwanda.
Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa wilaya ya Bukombe, Said Nkumba amesema majeruhi 6 wamepelekwa katika Hospitali ya Ushirombo na wawili wapo kituo cha afya Masumbwe wakiendelea kupatiwa matibabu huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa hakijafahamika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad