"Mungu Akubariki"Baba yake Diamond amlimbikizia Alikiba sifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Huenda mafahari wawili wakubwa wa Bongo Diamond Platnumz na Alikiba wanazozana siku chache tu baada ya wawili hao kuachilia vibao vilivyopokelewa kwa kishindo na mashabiki wao.

Diamond aliachilia kibao kwa jina IYO siku ya Alhamisi alafu siku moja baadaye Alikiba akawachilia kibao chake Jealous alichoshirikisha mwanamuziki Mayorkun kutoka Nigeria.

Katika video ambayo imeenea sana mitandaoni mzee Abdul anaonekana akimlimbikizia Alikiba sifa na kusema kwamba kibao chake kimemgusa.


Mzee Abdul na msanii Diamond hawajakuwa katika uhusiano mzuri kwa muda sasa.

Pia Abdull alimuomba Mungu ampe baraka Alikiba na katika kazi yake ya usanii, kwa muda sasa uvumi umekuwa ukiendelea kwamba wasanii hawa wawili wamekuwa na ugomvi.

"Alikiba ndugu yangu Mwanangu, shoga wangu nimeipenda nyimbo yako, imenigusa tena sana nafsi yangu, muombe Mungu akuondolee nuksi mbele yako, muziki wako uendelee kaza buti, Alikiba MUngu akubariki sana," Mzee Abdull alizungumza.

Ni ujumbe ambao mashabiki walitoa hisia tofauti na hizi hapa baadhi ya hisia zao;

isaya_ij: Nenda wasafi uka one alicho fanya mwijaku 😂

djtumbo972: Uyu mzee ajui kuwa kuna kesho 😂😂😂

jowzey_chejjo: Y u getting jealous😂😂😂


jkiba255: King kiba oyeee🔥🔥🔥🔥🔥
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad