AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nilimwita Bwana nae akaitika. Kwa haraka. Mbele ya macho yangu akajifunua na kuniokoa kutoka kwenye mauti. Kwa sababu ya huruma yake kuu amenipa kibali niendelee kuishi. Kwa upendeleo wa kipekee ametaka niwe shuhuda wa uwezo wake mkuu. Analo kusudio lake. Namshukuru Mungu na kumsifu kwa kila jambo. Hata wakati wa giza upendo, huruma na uzuri wake haujawahi kutetereka. Amenibariki na kunilinda. Ahsante Mungu. 🙏🏿🙏🏿 AGM 19.08.2021. #JinaLaBwanaLihimidiwe #JinaLakeLitukuzwe #AhsanteniWoteKwaDuaNaMaombi 🙏🏿
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK