Alberto Msando Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Ajali "Bwana Ameniokoa Kutoka Kwenye Mauti"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nilimwita Bwana nae akaitika. Kwa haraka. Mbele ya macho yangu akajifunua na kuniokoa kutoka kwenye mauti. Kwa sababu ya huruma yake kuu amenipa kibali niendelee kuishi. Kwa upendeleo wa kipekee ametaka niwe shuhuda wa uwezo wake mkuu. Analo kusudio lake. Namshukuru Mungu na kumsifu kwa kila jambo. Hata wakati wa giza upendo, huruma na uzuri wake haujawahi kutetereka. Amenibariki na kunilinda. Ahsante Mungu. 🙏🏿🙏🏿 AGM 19.08.2021. #JinaLaBwanaLihimidiwe #JinaLakeLitukuzwe #AhsanteniWoteKwaDuaNaMaombi 🙏🏿
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad