Aliyekuwa Msajili wa Hazina akabidhi ofisi rasmi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msajili wa Hazina, Mgonya Benedicto (kulia) akipokea nyaraka kutoka kwa aliyekuwa Msajili wa Hazina,  Athumani Mbuttuka wakati wa makabidhiano rasmi ya ofisi yaliyofanyika jana katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Dar es Salaam. 

Benedicto ameteuliwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Msajili wa Hazina kuchukua nafasi ya Mbuttuka ambaye ameteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad