Ally Mayai Tembele Amshukia Chama Sakata la Mo Dewji na Haji Manara "Ulitakiwa Kusoma Alama za Ntakati"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nguli wa Zamani wa Soka na Mchambuzi Mahiri wa Maswala ya Mpira wa Miguu , Ally Mayai Tembele, amesema kwamba Mchezaji @realclatouschama alitakiwa asome alama za nyakati kabla ya kuongea aliyoyaongea kupitia Instagram Live (Kumsifia Haji Manara )siku Moja iliyopita .

Ally Mayai anadai kuwa tayari kulikua na Kutoelewana baina ya Manara na Mo Dewji, hivyo Chama kama Mchezaji hakutakiwa kuongelea swala hilo kwa kupindi hiki ambacho bado kuna Vuguvugu .

Je, unakubaliana nae Katika hili ?

 Read More: Nafasi za Ajira Serikalini na Mashiriki Binafsi Nimekuwekea Hapa  

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad