AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty Jumatano limesema kwamba mamlaka za Tanzania lazima zitoe mara moja ushahidi wa kuthibitisha mashtaka dhidi ya kiongozi wa upinzani Freeman Mbowe, au wamwachilie huru, ikiwa siku moja tu kabla ya kufikishwa kwenye mahakama ya Dar es Salaam.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK