Amos Makalla "Ilifanyika Busara Kummaliza na Risasi Japo Angekuwa Hai Angetusaidia Kujua Mambo Mengi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



“Mkoa upo salama na shwari, tukio la jana kama lilivyotokea tulilidhibiti na pongezi kwa Jeshi la Polisi Tanzania, kama aliua Watu wanne na wengine ni Majeruhi kama tungesema tutumie busara ya kumuacha akiwa hai angeweza leta madhara zaidi'

“Ni kweli kama tungemdhibiti akiwa hai angetusaidia kujua mambo mengi lakini tayari alikua na silaha kubwa mbili, alikuwa mbioni kukimbia eneo la tukio, pangetokea madhara makubwa zaidi kama angeendelea kuachwa, hivyo ilitumika busara kufanya kile kilichotokea”

"Ni kweli tukio la jana lilizua taharuki, kama mlifuatilia nilitoa tamko la kusema tukio lile limeshadhibitiwa na Wananchi waendelee na shughuli zao kama kawaida hali ni salama na vyombo vya ulinzi na usalama wapo katika uchunguzi wa kina na taarifa itatolewa ya tukio"——— asema Mkuu ws Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla via Clouds360
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad