Ben Pol Ajuta Kufunga Ndoa na Anerlisa..."Ningeweza Rudisha Muda Nyuma Nisinge Muoa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwenye mahusiano yangu me siwezi kulaumu kitu chochote, nadhani ni mahesabu tu ya Dunia, tumeenda tulivyoenda na mwisho wa siku tumepasuka tulivyopasuka! Binafsi sikuona kama iko haja ya kumtafuta mchawi”

“Ningekuwa na nafasi ya kurudi nyuma na kubadilisha kitu kwenye mahusiano yangu, nadhani ningebadili system ya kufanya maamuzi, ningekuwa kauzu, pengine nisingeruhusu ndoa ifungwe kwa wakati ule!” -@iambenpol akijibu swali la @kenedytheremedy kwenye #BongoFlevaYaCloudsFM lililohoji kuwa angepewa nafasi ya kurudi nyuma kwenye mahusiano yake na @anerlisa ni kipi angebadilisha!? •

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad