Billnas Afunguka Kuhusu Nandy "Mambo ni complicated Japo Namuheshimu Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa Bongo Fleva, Billnass amesema madai ya yeye kuachana na mchumba wake, Nandy ni jambo lenye mkanganyiko (complicated) na hapendi kulizungumzia. .

"Kuhusu Nandy nisingependa kuzungumza sana upande huo, kwa sababu ni moja ya wanawake ambao ninawaheshimu sana..., complicated," amejibu Billnass.

"Kufuta picha ilikuwa ni sababu ya project yangu ya tatizo, nilikuwa naanza ukurasa mpya, na nilikuwa nafikiria kuja na EP inaitwa ukurasa mpya, na bado ipo kwenye mipango na kuna watu tunazungumza kuona namna tutaiuza," amesema Billnass.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad