Billnass Aomba X Wake Kutomwingiza Mtoto wake Mchanga Kwenye Ugomvi Wao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Maswali mengi yameibuka upya kuhusu hatma ya mahusiano ya mastaa wetu @billnass na @officialnandy baada tu ya hivi karibuni Nenga kupost Picha akiwa amemshika mtoto mchanga, haikuishia hapo Nenga akapost picha nyingine pia akiwa kamshika mtoto na ikiwa ni siku ya arobaini yake.

Baada ya Nenga kupost picha ya mtoto na ikiaminika ni siku ya arobaini ya malaika huyo,saa moja mbele ,Nandy alipost picha yenye caption "YUDA" ikiaminika ni meseji kwenda kwa Nenga.

Nenga ameona isiwe kesi katumia Insta Story yake kumuomba X wake kutomuhusisha kabisa mtoto kwenye vita yao maana bado ni malaika akidai wao si wa kwanza kuachana👇

"PENZI LETU SISI SIO LA KWANZA KWISHA,UGOMVI WETU YE HAJUI CHANZO WALA KISA,YE NI MALAIKA USIMUWEKE KWENYE VITA💔”-Nenga.

Maswali meng kwa waja ni kuhusu mtoto anayempost Nenga ni wa nani?,na kama ni wa Nenga, vipi hatma ya mahusiano yake na African Princess? Lakini viashiria ni vingi vinaonyesha watu hawa walishaachana ingawa wao hawataki kuweka


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad