Breaking News: Gwajima, Silaa Waondolewa Kamati Maadili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




WABUNGE Josephat Gwajima (CCM, Kawe) na Jerry Silaa (CCM, Ukonga) ambao ni wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Mamlaka ya Bunge wameondolewa kwenye kamati hiyo hadi itakapoamuliwa vinginevyo.


Kamati ambayo wabunge hao wameondolewa, ndiyo inayowahoji kuhusu tuhuma mbalimbali zinazowakabili, ambapo jana Askofu Gwajima alifika mbele ya kamati hiyo na kuhojiwa na leo ni zamu ya Slaa ambaye naye anatarajiwa kufika na kuhojiwa.

Agosti 21, mwaka huu, Gwajima ambaye ni Mbunge wa Kawe (CCM) pamoja na Silaa, Mbunge wa Ukonga (CCM) waliitwa mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad