Breaking News: Kanye West Awashutumu Universal Kuachia Album yake Bila Idhini yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya album ya DONDA kutoka,mmiliki wa album hiyo, Kanye West amefunguka kuwa Album yake ya DONDA imeachiwa na kampuni ya Universal Music bila idhini yake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram @kanyewest amewatuhumu Universal kuachia album hiyo wakati hajatoa baraka zake za mwisho na hii inatokana na wimbo wa Jail 2 kutowekwa kwenye album.

Inaonekana wajomba walichoka kupigwa danadana,Mitandaoni kuna utani unaendelea kuwa Drake kainunua Universal na yupo nyuma ya huu mchongo🤣

Follow @sajomedia kwa taarifa za burudani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad