AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki,Wapenzi na Wanachama wa Simba SC Zanzibar, wanaosherekea ubingwa wapata ajali eneo la Chuini wakati wakielekea Nungwi kushereka Ubingwa na Mafanikio ya Klabu yao.
Miongoni mwa waliopata ajali hiyo ji pamoja na Waandishi wa habari akiwemo Mpiga picha wa ZCTV Mohamed Suleiman ZUNGU, Mwaandishi wa Muungwana Blog Thabit Madai na Mwaandishi wa Michezo wa Island Tv Ismail Ibrahim
Majeruhi wa Ajali hiyo wapo hospitali ya KMKM kibweni wakiendelea na matibabu na hali zao zinaridhisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK