AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watumishi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki kwa ajali katika eneo la Hanseketwa – Old Vwawa wakati wakifukuzana na gari iliyodhaniwa kubeba magendo.
Ajali hiyo imetokea baada ya gari walilokuwa wamepanda aina ya Toyota Land Cruiser kugongwa kwa nyuma na lori la mizigo aina ya Fuso leo Agosti 23, 2021 majira ya saa 11 alfajiri katika eneo hilo la Hanseketwa wilayani Mbozi, Songwe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo. Taarifa Zaidi endelea kufuatilia mitandao yetu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK