Diamond Kwenye Billboard Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KWA mara nyingine, supastaa wa muziki barani Afrika, Nassib Abdul al-maarufu Diamond Platnumz ameonekana kwenye makala iliyopakiwa katika Mtandao wa billboard inayopatikana kwenye jarida la Billboard la Agosti 7, mwaka huu ambalo kwenye ukurasa wa kwanza limepambwa na picha ya staa wa muziki wa Marekani.

 

Makala hiyo yenye kichwa kinachosomeka; “How Diamond platnumz became Tanzania’s biggest star” inaelezea safari ya mafanikio ya diamondplatnumz kuanzia anaanza muziki mpaka sasa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad