Diamond Platnumz Aandika Haya kwa Uchungu Baada ya Mtangazaji Maulid Kitenge Kujiondoa Wasafi FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Reposted from @diamondplatnumz kwanza kabisa nikushukuru kwa mchango wako mkubwa Katika taasisi ya Wasafi Media, kwa kuwa nasi bega kwa bega kuanzia Media changa mpaka leo imekuwa Media Nambari Moja Nchini katika kila report....Hakika haikuwa rahisi,  shukran sana na sasa nina Amani ukirudi nyumbani..Mbali ya ushiriki wako kwenye Media, siku zote umekuwa ni kama kaka ama Uncle kwangu...na ninakuahidi kwenda kwa kasi ileile ambayo siku zote umenisihi kuifanya, ili kutimiza Malengo ya WASAFI MEDIA kuwa chombo kikubwa cha Habari Africa na kuzidi kulipa Heshima Taifa letu katika nyanja ya Habari...🇹🇿 @mauldikitenge #KochaMchezaji #Kwaheri #Icon #Chumvi #Jembe 💪🏼  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad