AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Reposted from @diamondplatnumz kwanza kabisa nikushukuru kwa mchango wako mkubwa Katika taasisi ya Wasafi Media, kwa kuwa nasi bega kwa bega kuanzia Media changa mpaka leo imekuwa Media Nambari Moja Nchini katika kila report....Hakika haikuwa rahisi, shukran sana na sasa nina Amani ukirudi nyumbani..Mbali ya ushiriki wako kwenye Media, siku zote umekuwa ni kama kaka ama Uncle kwangu...na ninakuahidi kwenda kwa kasi ileile ambayo siku zote umenisihi kuifanya, ili kutimiza Malengo ya WASAFI MEDIA kuwa chombo kikubwa cha Habari Africa na kuzidi kulipa Heshima Taifa letu katika nyanja ya Habari...🇹🇿 @mauldikitenge #KochaMchezaji #Kwaheri #Icon #Chumvi #Jembe 💪🏼
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK