Domokaya Amjibu Linex Kushuka kwa Muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Digala Domokaya ameijibu comment ya msanii Linex baada ya kutoa ujumbe unaosema kwamba muziki wa sasa Tanzania umeshuka hivyo wasanii wazuri wafanye jitihada za kuuridisha muziki.

Domokaya amesema muziki wa sasa hivi ni biashara na watu wamewekeza pesa zao hivyo hawataki kupata hasara ndio maana inatumika njia zote ku-push aina ya miziki hiyo.

"Sasa hivi muziki ni biashara watu wanatia pesa zao, kwa hiyo hawawezi kuweka pesa halafu wakapata hasara hivyo watapush kwa style yoyote hata kama hupendi, zingekuwa zinapata nafasi kazi nzuri na zenye ubora hata kama wasingeweka pesa ingehitajika sapoti tu na mziki mzuri wenyewe utajitangaza" amesema Domokaya

Kupitia comment hiyo aliyoitoa Linex kuhusu kushuka kwa muziki wa Bongo umezua mjadala kwa baadhi ya mashabiki, wasanii na wadau wa muziki mitandaoni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad