Dorothy Gwajima "Mume Wangu Baada ya Kuchoma Chanjo Ametest Mitambo Kwangu, Yupo Fit"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'.

Ametoa kauli hivyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mototo katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad