Essence ya Wizkid yaongoza kutafutwa Marekani kupitia Shazam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kampuni ya kuuza muziki mtandaoni ya @shazam imempongeza staa wa muziki kutoka nchini Nigeria @wizkidayo kwa ngoma yake ya #Essence kuongoza kutafutwa mtandaoni nchini Marekani kupitia mtandao huo.

Ikumbukwe @wizkidayo aliifanyia ngoma hiyo Remix baada ya mara ya original yake kumshirikisha mwanadada @temsbaby kutoka nchini Nigeria lakini Remix yake akimuweka @justinbieber
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad