AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya kuuza muziki mtandaoni ya @shazam imempongeza staa wa muziki kutoka nchini Nigeria @wizkidayo kwa ngoma yake ya #Essence kuongoza kutafutwa mtandaoni nchini Marekani kupitia mtandao huo.
Ikumbukwe @wizkidayo aliifanyia ngoma hiyo Remix baada ya mara ya original yake kumshirikisha mwanadada @temsbaby kutoka nchini Nigeria lakini Remix yake akimuweka @justinbieber
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK