Exclusive:Ukweli Kuhusu Waliofumaniwa na Kupigwa Wasimulia “Hatuachani” (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Siku chache zilizopita ilisambaa video Mitandaoni ikionesha Mwanaume na Mwanamke wakiwa wanapigwa kwa madai ya kwamba wamefumaniwa, video hii ilimuibua Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ambaye aliagiza waliowafanyia kitendo hicho wakamatwe na akapiga marufuku matukio ya kupangwa ya fumanizi hasa kwa Watu ambao hawana vyeti vya ndoa.

Sasa Ayo TV na millardayo.com imefika hadi Mtaa wa Matumbini B, Temeke Dar es salaam ambako Wawili hao (Anitha Laurian na Rashid Kawanjwe) wanaishi na kuzungumza nao kwa urefu kuhusu tukio hilo, tumezungumza pia na Mashuhuda pamoja na Viongozi wa Serikali wa eneo hilo.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad