Gigy Money na Mo Jay Wamerudiana? Mwenyewe Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa Bongo fleva @gigy_money_og ameibuka na kukanusha tetesi kuwa anmerudia na ababa mtoto wake @moj360 hii ni baada ya kuvuja kwa video ambayo ilikuwa ikumuonesha staa wa muziki wa Bongo Fleva akiwa na baba mtoto wake @moj360 pamoja na mtoto wao Mayra.
Kupitia Instastory yake Gigy Money ameweka wazi kuwa hajarudiana na baba mtoto wake huyo ila alienda kumtembelea mtoto wao Mayra ambaye kwa sasa ni mgonjwa

✍️@gigy_money_og
"Sijarudiana na mtu, nawadanganya. Mayra anaumwa na baba yake kaja kumuona. Na napenda jinsi wanavyo shirikiana mniache"


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad