AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kawe Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo, Dkt. Josephat Gwajima amekanusha taarifa zinasombaa mitandaoni kuwa amechomwa chanjo ya corona.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Gwajima ameandika; NILISHASEMA MIMI SICHANJWI NA SITACHANJWA CHANJO YA CORONA
Scan hiyo QR code utapata jina la raia wa KENYA mwenye certificate walichotumia kuFAKE. Swipe picha ya pembeni yenye cheti husika cha raia wa Kenya. SICHANJWI NILISHASEMA.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK