Gwajima Akutwa na Hatia, Bunge Lampa Adhabu Hii Kabambe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kamati ya Maadili imependekeza vyom6bo vya Usalama kumchunguza Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima kutokana na kauli alizokiri kutoa Kanisani kwake

Aidha, Chama kilichompa tiketi ya kupata Ubunge (CCM) kimetakiwa kumuwajibisha kwa mujibu wa taratibu zao

Kamati imependekeza Gwajima asihudhurie mikutano miwili ya Bunge mfululizo


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad