AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askofu Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge leo Agosti 25, 2021 amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.
Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK