AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatimaye Rosa Ree Awakutanisha WASHINDANI Wake Frida Amani na Chemical Kwenda Collabo Moja..Rosa Aandika Haya
"Guyyyysss hii ilikua moja kati ya studio sessions bora ambayo nimewahi kufanya na wasanii wenzangu. Energy ilikua nzuri sana! Muda wote tulikua tunacheka na tunafanya kazi kwa furaha. @chemical_tz @fridaamaniofficial thanks for coming through. Tumeuaaaa! Watu walitaka sana kuona ngoma yetu pamoja na we delivered!!!! Alsooooo, walikua wageni wangu wa kwanzaaa kwenye studio yangu 😆Much love n Respect ✊🏾❤️🔥
YOUUUUUU READDDDYYYYY???😈
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK