Hemedy PHD Afunguka Sababu ya Kujiita Mwamposa "Wamama Huko Mtaani Hawapindua Kwangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwamposa ama Mwampopo Papy Fernando Pumbunyo @hemedyphd amedai hakuwahi kumjua mtumishi Mwamposa na wala hakuwahi fikiria kama ipo siku atajiita Mwamposa ila alijiita hivyo kwasababu wana kitaa walimfananisha na mtumishi huyo.

Akifunguka kwenye Empire ya EFM, Hemedy amedai kuna wana walimwambia wamama wanaosali kwa Mwamposa huwaambii kitu kuhusu yule bwana, huwezi washawishi kwa vyovyote vile jinsi wanavyomkubali, na vile kitaani wamama huwa hawapindui kwa @hemedyphd ,yani huwaambii kitu kuhusu Pappy Fernando basi wanashabihana na mwamposa.

Hemedy amekiri kuwa Mwamposa nguvu yake ni kali maana siku hizi akikatiza tu kitaa si watoto au wakubwa utasikia wakiita kwa fujo Mwampopo🤣🤣

Sasa Mwamposa kadai anaoa mwakani,hivyo zameni DM kabla hajafunga milango ya kutoa upako

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad