IGP Sirro akemea wanaojihusisha na dawa za kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro ameitaka jamii kujiepusha na kuacha vitendo vya udhalilishaji na biashara ya dawa za kulevya kwani vyombo vya dola vitatumia sheria zilizopo kuwashughulikia wanaojihusisha na vitendo hivyo.

IGP Sirro amesema hayo leo wakati akifunga mafunzo ya uongozi mdogo wa Cheo cha Sajenti wa Polisi yaliyofanyika kwa muda wa miezi miwili katika Chuo cha Polisi Zanzibar ambapo jumla ya wahitimu 1297 walihitimu mafunzo hayo na kupandishwa vyeo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad