IGP Sirro atoa msimamo kukamatwa kwa Askofu Gwajima.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya Waziri wa Afya Dkt.Doroth Gwajima kuagiza Jeshi la Polisi na TAKUKURU kumkamata Askofu Josephat Gwajima na kumuhoji kwa tuhuma za kupotosha juu ya Chanjo ya UVIKO-19, hatimaye Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema wanachokisubiri sasa ni maelekezo ya maandishi kutoka kwa Waziri huyo.

"Tumeyasikia hayo maelekezo, jambo la msingi unajua maelekezo ya kiserikali mara nyingi yanakwenda kwa maandishi, tunasubiri maandishi ya kuonyesha kuna kosa gani, maanake sisi tunashughulika na makosa ya jinai, kwahiyo nasubiri maelekezo kutoka kwake alafu tutaangalia kama ni makosa ya jinai tutachukua hatua na kama tutaona ni vinginevyo tutashauri njia nyingine itumike badala ya kutumia Jeshi la Polisi"-IGP-Sirro.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad